RC MAKALLA AMSHUKURU RAIS SAMIA KUTOA BILIONI 3 UJENZI SHULE MPYA YA WASICHANA DSM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Shule Mpya ya wasichana Dar es salaam inayojengwa kwenye Kata ya Kwembe Wilaya ya Ubungo ambapo amemshukuru Rais Samia kwa kutoa Shilingi Bilioni 3 za kufanikisha Ujenzi huo. RC Makalla amesema Shule hiyo ya bweni itachukuwa Wanafunzi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed